Wachuuzi wa samaki katika maeneo ya Zanzibar wakiwa katika ufukwe wa bahari ya Malindi Funguni Unguja wakipata bidhaa hiyo katika mnada huo. Ndoo moja ya samaki aina ya saladini imeuzwa kwa shilingi 50,000/ .
DKT. MUYUNGI ATETA NA UJUMBE KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA ULIOPO TANZANIA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia)
akizungumza jambo wakati wa kikao chake na wawakilishi wa Ubalozi wa
Uingereza nchini Ta...
8 hours ago
0 Comments