Waziri wa Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akizungua Namba ya Huduma Kwa Wateja ya ZAECA 113, kwa ajili ya mawasiliano ya kutowa taarifa kupitia nama hiyo kuripota taarifa za Rushwa Zanzibar hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika ukumbi wa Shirika la Bima Zanzibar mpirani.
TEMDO YABUNI MTAMBO MPYA WA KUCHAKATA MIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA SUKARI
-
*SHIRIKA la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) limebuni, kusanifu
na kutengeneza mtambo wa kuchakata zao la miwa ili kupata sukari kwa
kiwan...
1 hour ago
0 Comments