Mshambuliaji wa Timu ya Kipanga akiwapita mabeki wa Timu ya Chuoni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar kanda ya Unguja mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
7 hours ago
0 Comments