Mradi wa ufunguzi wa camera katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea ili kuimarisha mindombinu ya usalama katika maeneo ya barabara za Mjini ni na vijiji.kama wanavyoonekana pichani wakiendelea na ufungaji huo.wakiwa katika barabara ya Maisara wakiendelea na zoezi hilo.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
2 hours ago


0 Comments