Baadhi ya Boti za kusafirishia Watalii kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar katika Visiwa vya Bawe, Prison na mafungua ya mchanga bahari zikiwa katika eneo la ufukwe wa pwani ya Forodha Mchanga wakisubiri wateja wao.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
7 hours ago
0 Comments