Maalim Seif Nassor Mohammed Al Harthiy (Seif Mshumaa) amefariki maziko yake yatafanyika Michenzani Jumba namba 6 Alaasiri. Alizaliwa 6/6/1936. Aliwahi kuwa Mwalimu, Producer Manager wa Televishion Zanzibar (TVZ) na Mwanasiasa na pia Mwanasoka maarufu aliyeshinda katika mashindano mbali mbali. Maelezo yake mengine hapa chini.
TANESCO RUVUMA YAWAFIKIA WANAFUNZI TUNDURU, YATOA ELIMU YA MATUMIZI YA UMEME
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ruvuma limeendelea na zoezi la
utoaji wa elimu kwa wateja kwa kuwafikia wanafunzi wa shule za msingi na
sekon...
7 minutes ago


0 Comments