Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud (kulia) akifafanua jambo wakati alipokutana na waandishi wa habari kutoa taarifa rasmi kuhusu mwezi wa Ramadhan na sikukuu ya eid el fitri. Kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa huo Hamida Mussa Khamis, katikati ni mwandishi wa Habari mwandamizi Salum Vuai.
VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAPELEKA HUDUMA ZA MAKAMBI YA AFYA BURE KWA
WAKAZI WA MOROGORO.
-
Morogoro, Tanzania, 10 March 2026: Miaka ya hivi karibuni, magonjwa
yasiyoambukiza yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa afya ya jamii nchini
Tanzania. M...
6 minutes ago

0 Comments