Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe.Dkt. Khalid Mohammed Salum akitembelea Mradi wa Nyumba za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, Nyumba hizo zinajengwa katika maeneo ya mbweni Zanzibar, Jumla ya magorofa 15 yanatarajiwa kujengwa katika eneo hilo kwa sasa Majengo Matano yako katika hatua za mwisho ya ujenzi wake zinazojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Dezo kutoka Tanzania.Na mengi matano yako katika hatua ya umaliziaji wake kukamilika kwa ujenzi wake.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
1 hour ago
0 Comments