MKUU
wa Idara ya Teknolojia wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Dr. Abubakari
Diwani , akimfanyia udalihi mwanafunzi, wakati wa maonesho ya Udahili wa
Wanafunzi Wapya wanaotaka kujiunda na Chuo Kikuu SUZA maonesho hayo yamefanyika
katika viwanja vya Mapinduzi Square michezani Zanzibar
WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA HUDUMA (WING B) HOSPITALI YA RUFAA YA
MKOA WA KATAVI
-
▪︎ Aagiza mradi ukamilike kwa wakati na ubora, asisitiza malipo kwa
wafanyakazi wa mradi yafanyike kwa wakati
▪︎Awapongeza watumishi wa afya kwa weledi
WA...
36 minutes ago
0 Comments