Wageni kutoka sehemu mbalimbali wanaofika Zanzibar kwa ajili ya Utalii hupata fursa kjionea na kuangalia sehemu za Historia ya Zanzibar katika maeneo ya Mji Mkongwe wa Unguja Zanzibar kama wanavyoonekana wakipata maelezo ya moja ya majengo ya historia katika mtaa wa shangazi Unguja wakipata maelezo ya nyumba ya Marcury House.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
9 hours ago
0 Comments