Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL inayosimamia Mradi wa usambazaji
maji safi na salama katika maeneo ya mbalimbali ya Mji wa Zanzibar
wakisambaza mabomba hayo katika mitaa ya Miembeni Unguja, wakiwa katika eneo la Miembeni jitini wakitandaza mpira wa kusambazia maji katika mitaa hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakati akiwa katika mitaa mbalimbali ya Zenj.
Airtel Yazindua Teknolojia ya Airtel VoLTE Kwa Mawasiliano ya Kisasa BILA
CHENGA
-
· Airtel yaja na Airtel VoLTE, wateja sasa kuperuzi na kuongea LIVE BILA
CHENGA
Dar es Salaam, December 17, 2025,
KAMPUNI ya Airtel Tanzania leo imezin...
6 hours ago
0 Comments