IPO haja kwa Serikali Mapinduzi ya Zanzibar kutenga viwanja maalumu kwa ajili ya Michezo ya Watoto, ambao wameanza kuinukia katika michezo mbali mbali, Pichani mmoja ya watoto wa Kangagani akionyesha umahiri wake wa kupiga gema za Nyuma huku akiruka juu huku wenzake wakimtazama.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
UMEME WA GRIDI KIGOMA UMEOKOA BILIONI 58 ZA MAFUTA NA MATENGENEZO –MHE.
SALOME
-
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme
Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa
g...
5 minutes ago
0 Comments