Nashabiki na Wapenzi wa Mchezo wa Soka Wilayani Ruangwa Mkoani Mtwara wakiwa katika foleni kuingia Uwanja kushuhudia Ufunguzi wa Uwanja huo kushuhudia mchezo wa Kirafiki Kati ya Simba Sc ya Jijini Dar es Salaam na Timu ya Namungo FC,Kwa Ajili ya Mchezo wa Ufunguzi wa Uwanja wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
6 hours ago
0 Comments