Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Khalifa Salum Suleiman, akimkabidhi fedha shilingi Milioni mbili na laki Tano Mkurugenzi wa Taasisi ya Baraza la Vijana Dungu,Ndg.
Phidelis Daniel Phidelis kwa ajili ya Mradi wao wa Kukusanya Maziwa ya Ngombe kwa Wakulima kwa ajili ya kusambaza katika Kiwanda cha Maziwa cha Bakhressa, katikati Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said, fedha hizo zimetolea na Waheshimiwa hao ili kukamilisha ufungaji wa Umeme katika eneo la kuhifadhia maziwa hayo baada ya kuyakusanya kwa Wakulima.
Benki ya CRDBB Yatwaa Tuzo ya Mshindi wa Jumla kwa Uwasilishaji Bora wa
Taarifa za Fedha Tuzo za NBAA
-
Dar es Salaam, Tanzania — Benki ya CRDB imethibitisha kwa mara nyingine
tena uongozi na ubora wake katika utayarishaji wa taarifa za fedha baada ya
kutunu...
26 minutes ago
0 Comments