MASHINDANO ya vijana ngazi ya centrala na Jounier wilaya ya chake chake, Msaidizi wa makamu wa pili Pemba Amran Massoud Amran akiwa mgeni rasmi na kuwakabidhi zawadi watoto wa mjini chake chake, kubwa aliwataka viongozi wa vilabu kuhakikisha wanakuwa makini katika kutafuta umri wa wachezaji wanaoshiriki mashindano hayo, kwa kuhofia yaliyotokea kwa timu ya Vijana ya zanzibar kutolewa katika mashindano ya CECAFA mwaka jana
Makubaliano Mapya Yafungua Mlango wa Tafiti na Ubunifu Tanzania
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kwa
kushirikiana na Taasisi ya Global Education Link Ltd wamesaini ...
1 hour ago










0 Comments