Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Haile Sallesie wakishangilia Ubingwa wao baada ya kuifunga Skuli ya Sekondari ya Nyuki katika mchezo wa Fainali uliofanyika katika viwanja vya maisara Zanzibar imeibuka kwa ushindi wa Vikapu 37 - 23.. Wanawakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Tamasha la Elimu Bila Malipo katika Michguano ya Taifa inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo kuzikutanisha Skuli za Sekondari za Mikoa Mitano ya Zanzibar.
SERIKALI KUIFUNGUA PEMBA KIUTALII
-
Na. Mwandishi wetu, Pemba
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Mh. Hamad Hassan Chande (Mb),
amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
3 hours ago
0 Comments