Uongizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar unatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ajali mbaya ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20.09.2018
Mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Amin
Tunawaombea majeruhi wote wapone haraka.
GEITA DC KINARA NAMBA MOJA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO YA MAMLAKA YA SERIKALI
MTANDAO (eGA)
-
Mkutano wa 6 wa Serikali Mtandao umemalizika Februari 19, 2026, huku
Halmashauri ya Wilaya ya Geita ikitangazwa kuwa Mshindi Namba Moja kati ya
Halmashauri...
7 hours ago


0 Comments