Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege Said Khamis akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM Richard Jovit wakati wa mchezo wao wa Kombe la FA Robo Fainali uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa penenti 4-2. Na kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali ya Kobe la FA.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
14 hours ago
0 Comments