Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege Said Khamis akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM Richard Jovit wakati wa mchezo wao wa Kombe la FA Robo Fainali uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa penenti 4-2. Na kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali ya Kobe la FA.
TPSC YAWAUNGANISHA WATAALAMU KUJADILI MATUMIZI YA AKILI MNEMBA KATIKA SEKTA
YA UMMA
-
Na Mwandishi Wetu — Dar es Salaam, 12 Februari 2026
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kimeongoza mdahalo wa kitaalamu
uliolenga kujadili matumizi...
2 hours ago
0 Comments