Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege Said Khamis akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM Richard Jovit wakati wa mchezo wao wa Kombe la FA Robo Fainali uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa penenti 4-2. Na kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali ya Kobe la FA.
TRA DODOMA YATOA MKONO WA UPENDO NA FARAJA KWA WENYE ULEMAVU WA MACHO
KUELEKEA SIKUKUU YA PASAKA.
-
DODOMA, 2 Aprili 2026
Kuelekea sikukuu ya Pasaka, Meneja wa TRA Mkoa wa Dodoma, Bw. Pendolake
Elinisafi, ameongoza ziara ya kutembelea kaya za watu weny...
11 minutes ago
0 Comments