Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika ziara yake Mkoa wa Kagera akisalimiana na watoto wa Shule ya Awali na Msingi ya Rweikiza wakati alipotembelea Shule hiyo akiwa katika ziara ya Bukoba Vijijini mkoani Kagera, Oktoba 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
6 hours ago
0 Comments