Kikundi cha Taifa cha Taraab Zanzibar kikitoa burudani wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar ZSTC, Maadhimisho hayo yamefanyika katika Viwanja vya Hoteli Verde Mtoni Zanzibar jana usiku.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
1 hour ago
0 Comments