Matayarisho ya Ujenzi wa Mabanda ya Maonesho ya Siku ya Sheria Duniani yatakayofanyika katika viwanja vya nje Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, Yatakayoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika ya Umma na Binafsi yanayotarajiwa kuaza kesho kwa ufunguzi wake kufunguliwa na Waziri wa Sheria Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, hapo kesho.
Vifo 556 hadi 104: Jinsi Tanzania ilivyopunguza vifo vya uzazi kwa kinamama
-
Mwandishi Wetu,
Dar es Salaam.
TAKWIMU kutoka cha Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa Afrika (CDC-Afrika)
zinaonyesha kuwa, vifo vya uzazi Tanzania vimepungua...
2 minutes ago
0 Comments