Matayarisho ya Ujenzi wa Mabanda ya Maonesho ya Siku ya Sheria Duniani yatakayofanyika katika viwanja vya nje Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, Yatakayoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika ya Umma na Binafsi yanayotarajiwa kuaza kesho kwa ufunguzi wake kufunguliwa na Waziri wa Sheria Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, hapo kesho.
RC TANGA DKT.BATILDA BURIAN ATAKA KAZI ZIFANYIKE USIKU NA MCHANA MRADI
UJENZI WA BWAWA LA UMWAGILIAJI MKOMAZI
-
Na Oscar Assenga, KOROGWE.
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amemtaka Mkandarasi
anayesimamia mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji la ...
50 minutes ago
0 Comments