Ujenzi wa Barabara mpya kwa kiwango cha lami katika maeneo mbalimbali kisiwani Pemba,Mmoja ya Mradi huo wa barabara ya ikiwa katika makutano ya Mabao ikitokea Ole na kuelekea Kengeja na Uwanja wa Ndege wa Karume Chakechake.Pemba ikiendelea na ujenzi wake kama inavyoonekana picha makutano ya barabara hiyo maeneo ya mzunguko wa mabaoni.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
4 hours ago
0 Comments