Katika pitapita yangu katika maeneo ya Kisiwa cha Pemba nimeweza kujionea jinsi ya muembe ulivyonawiri na kuzaa embe nyingi tafauti na miembe mingine jinsi ulivyoshehena embe hizi kama inavyoonekana pichani.
Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank
Tanzania
-
Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya
wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki
ikiendelea kuimari...
6 minutes ago
0 Comments