Katika pitapita yangu katika maeneo ya Kisiwa cha Pemba nimeweza kujionea jinsi ya muembe ulivyonawiri na kuzaa embe nyingi tafauti na miembe mingine jinsi ulivyoshehena embe hizi kama inavyoonekana pichani.
WATUMISHI KARIAKOO WAPEWA MKONO WA SHUKURANI SIKUKUU ZA MWISHO WA MWAKA,
WAHIMIZWA KUENDELEA KUWAJIBIKA.
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limetoa zawadi za Sikukuu za Krismasi na
mwaka mpya kwa watumishi wake ikiwa ni sehemu ya motisha kwa utendaji kazi
wao mzuri...
2 hours ago
0 Comments