Wananchi Kisiwani Pemba wakiwa katika harakati za hapa na pale katika Mji wa Chakechake Pemba asubuhi hii kwa shughuli mbalimbali za Kimaendeleo katika marikiti Kuu ya Chake asubuhi hii kama inavyoonekana, nikiwa katika mizunguko yangu hii leo na kujionea hali hii,
Vifo 556 hadi 104: Jinsi Tanzania ilivyopunguza vifo vya uzazi kwa kinamama
-
Mwandishi Wetu,
Dar es Salaam.
TAKWIMU kutoka cha Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa Afrika (CDC-Afrika)
zinaonyesha kuwa, vifo vya uzazi Tanzania vimepungua...
2 minutes ago
0 Comments