Wananchi Kisiwani Pemba wakiwa katika harakati za hapa na pale katika Mji wa Chakechake Pemba asubuhi hii kwa shughuli mbalimbali za Kimaendeleo katika marikiti Kuu ya Chake asubuhi hii kama inavyoonekana, nikiwa katika mizunguko yangu hii leo na kujionea hali hii,
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
1 hour ago
0 Comments