Wanchi wakiwa katika harakati za kujinunulia futari katika Marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar, kama walivyokutwa na kamera yatu wakiwa katika marikiti hiyo,chana moja ya ndizi ya mtwike imeuzwa kati ya shilingi 2000/ na 4000/ kutegemeana na ukubwa wake.
Mfanyabiashara katika marikiti kuu ya Darajani akiwasubiri wateja wa bidhaa hizo, fungu moja la Majimbi linauzwa shilingi 5000/ na fungu la viazi 2000/- na 5000/ kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika eneo hilo akisubiri wateja wa bidhaa hizo.
TMA Yabainisha Njia Rasmi za Kupata Taarifa za Hali ya Hewa
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imebainisha njia rasmi zinazotumika
katika usambazaji wa taarifa za hali ya hewa nchin...
2 hours ago
0 Comments