Wanchi wakiwa katika harakati za kujinunulia futari katika Marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar, kama walivyokutwa na kamera yatu wakiwa katika marikiti hiyo,chana moja ya ndizi ya mtwike imeuzwa kati ya shilingi 2000/ na 4000/ kutegemeana na ukubwa wake.
Mfanyabiashara katika marikiti kuu ya Darajani akiwasubiri wateja wa bidhaa hizo, fungu moja la Majimbi linauzwa shilingi 5000/ na fungu la viazi 2000/- na 5000/ kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika eneo hilo akisubiri wateja wa bidhaa hizo.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
9 hours ago
0 Comments