Wakuu wa Wilaya ya Wete Pemba na Wilaya ya Magharibi A Unguja kulia Mkuu wa Wilaya ya Wete Kapteni Khatib Khamis Mwadin na kushoto Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Unguyja Ndg. Abeid Juma Ali, wakipitia hati zao za Kiapo kabla ya kuaza kwa hafla hiyo iliofanyika leo Ikulu Zanzibar.
TAIFA STARS YAFUZU HATUA YA MTOANO AFCON
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano
ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kw...
5 hours ago
0 Comments