Wakuu wa Wilaya ya Wete Pemba na Wilaya ya Magharibi A Unguja kulia Mkuu wa Wilaya ya Wete Kapteni Khatib Khamis Mwadin na kushoto Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Unguyja Ndg. Abeid Juma Ali, wakipitia hati zao za Kiapo kabla ya kuaza kwa hafla hiyo iliofanyika leo Ikulu Zanzibar.
Tanzania Yatangaza Fursa Mpya za Uwekezaji Sekta ya Afya Kimataifa
-
Na Mwandishi Wetu, London
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko
tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika ku...
9 minutes ago
0 Comments