Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akisalimiana na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Nchi za Nje wakiwasili katika Bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kampuni ya Azam ya Kilimanjaro kwa ziara Maalum kutembelea Zanzibar. kushoto Meya wa Manispa ya Zanzibar Mstahiki Meya Khatib Abdurahaman Khatib.
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
3 hours ago
0 Comments