Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akisalimiana na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Nchi za Nje wakiwasili katika Bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kampuni ya Azam ya Kilimanjaro kwa ziara Maalum kutembelea Zanzibar. kushoto Meya wa Manispa ya Zanzibar Mstahiki Meya Khatib Abdurahaman Khatib.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
11 hours ago
0 Comments