Kampuni ya Simu ya Zatel ikiendelea na Zoezi la kusajili laini za simu kwa Wateja wao kwa njia za alama ya kidole, kama alivyokutwa Mwananchi huo akiwa katika zoezi hilo kwa wakala wa Zantel katika mitaa ya chakechake Pemba akijisajili.
USHINDI WA TANZANIA KWENYE TUZO ZA UTALII DUNIANI NI CHACHU YA KUENDELEA
KUTANGAZA MAZAO MAPYA YA UTALII NGORONGORO
-
Na Mwandishi Wetu.
Baada ya Tanzania kutajwa na mtandao wa World Travel Awards kama nchi
inayoongoza kwa Utalii wa Safari mwaka 2025 imekuwa ni chachu ya...
3 hours ago

0 Comments