Naibu Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar.Mhe. Shadya Mohammed akimkabidhi Bao la Keti mmoja wa Viongozi wa Mchezo huo wakati wa Bonaza la Wazee la Kuadhimisha Siku ya Wazee lililofanyika Uwanja wa Mao Zedong leo.
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MABORESHO YA BANDARI YA TANGA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
KAMATI ya kudumu ya Bunge ya miundombinu leo imefanya ziara ya kutembelea
Bandari ya Tanga huku ikiridhinshwa na uboreshaji wa miun...
9 minutes ago


0 Comments