Naibu Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar.Mhe. Shadya Mohammed akimkabidhi Bao la Keti mmoja wa Viongozi wa Mchezo huo wakati wa Bonaza la Wazee la Kuadhimisha Siku ya Wazee lililofanyika Uwanja wa Mao Zedong leo.
DIWANI NGOLE ATANGAZA VITA NA WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE.
-
Serikali katika kata ya Nyanguku halmashauri ya manispaa ya Geita
imetangaza vita dhidi ya wazazi ambao hawajawaandikisha watoto Elimu ya
awali pamoja na...
27 minutes ago


0 Comments