Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Alhajj Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mshauri wa Jumuiya ya Milade Nabii Sheikh.Shirali Champsi alipoiwasili katika viwanja vya Maisara Suleima Wilaya ya Mhjini Unguja kuhudhuria hafla ya sherehe za Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika jana usiku.
JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE
-
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao
cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe
mara...
2 hours ago
0 Comments