Mchezaji wa zamani wa Timu ya Small Simba Kocha na Taifa Stars kipa mashuhuri Zanzibar kwa umaarufu Bush akiwanoa Wachezaji Chipukizi Zanzibar kupitia Kituo cha Michezo cha Youth Footbal Development Academy Zanzibar katika viwanja vya maisara Uwanja wa Nyuki, Kituo hicho hutowa mafunzo ya wachezaji wa mpira wa miguu kuazia umri wa miaka 7 hadi 16
Airtel Tanzania yazindua Maduka 17 ya Smart Shops Dar es Salaam, kukuza
Huduma za Kidijitali
-
Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini,
imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam.
Maduka haya ni ...
44 minutes ago
0 Comments