Wafanyabiashara ya Samaki katika Marikiti Kuu Darajani Jijini Zanzibar wakiwa katika harakati za kumpasua Samaki aina ya Papa aliyevuliwa katika bahari ya Mkoa wa Kusini Unguja akiwa na uzito karibu kilo 150.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
10 hours ago



0 Comments