Muonekano wa bustani ya ufukwe wa bahari Forodhani Jijini Zanzibar hutumika kwa Wananchi na Wageni wakati wa jioni kujipumzisha na Vijana kutumia kwa kupiga kachumbe na kuogelea kama wanavyoonekani pichani katika eneo hilo la bustani hiyo.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
1 hour ago
0 Comments