Wasanii kutoka Ghana na UK wa Kikundi cha ONIPA wakitowa burudani katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Jijini Zanzibar wakati wa onesho la Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, lililofanyika wiki iliopita Visiwani Zanzibar.
TRA DODOMA YATOA ELIMU YA KODI KWA MJASIRIAMALI IDRISA WA BAHI KUFUATIA
MALALAMIKO YA KIKODI
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma tarehe 15 ilifanya ziara ya
kikazi kumfikia mjasiriamali Idrisa Aclay Chisigwa wa Wilaya ya Bahi, kwa
lengo...
3 minutes ago
0 Comments