KUFUATIA kuwepo kwa ugonjwa wa Corona Tanzania,baadhi ya gari za abiria zimeanza kutekeleza agizo la serikali kuwanawisha mikono abiria wao kabla ya kupanda gari hizo, pichani kondakta wa gari ya abiria yenye ruti 316 Chake Chake-Vitongoji akiwanawisha mikono abiria wake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
Kamati ya bunge yahimiza kasi maboresho bandari ya Tanga
-
📍Yasifu uwekezaji wa shilingi bilioni 429
NA MASHAKA MHANDO, Tanga
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiashauri Serikali kuongeza kasi
ya utat...
46 minutes ago


0 Comments