KUFUATIA kuwepo kwa ugonjwa wa Corona Tanzania,baadhi ya gari za abiria zimeanza kutekeleza agizo la serikali kuwanawisha mikono abiria wao kabla ya kupanda gari hizo, pichani kondakta wa gari ya abiria yenye ruti 316 Chake Chake-Vitongoji akiwanawisha mikono abiria wake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
BASI LA KINGS MASAI TOURS LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
TANZANIA NA MSUMBUJI, MMILIKI AHOJIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu
9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari mat...
2 hours ago


0 Comments