Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona COVID -19 kuchukua tahadhari za mara kwa mara kuosha mikono yetu kwa sabuni na maji yanayochurizika au kutumia Sanitaiza ili kujikinga na maambukizo hayo. Kama inavyoonekana Kijana huyu akiwa katika zoezi la kuosha mikono yake akiwa katika matembezi yake mtaa wa mji mkongwe eneo shangani katika moja ya maduka katika mtaa huo.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
4 hours ago

0 Comments