KUFUATIA Mvua Kuendelea Kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa Cha Pemba, nao wakulima wa minazi hawako nyuma katika kuimarisha kilimo hicho, pichani baadhi ya wananchi wakichagua minazi bora na mizuri kwenda kupanda ambapo mmoja mche wake unauzwa kati ya shilingi 2000 hadi 2500.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.
CHONGOLO AITAKA COOP BANK KUHAKIKISHA INALINDA MIFUMO YA KIFEDHA KUEPUKA
HASARA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
Waziri wa Kilimo Daniel Chongolo amesisitiza Uongozi wa Benki ya Ushirika
juu ya ulinzi wa mifumo hasa ya kifedha kwan...
44 minutes ago
0 Comments