Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Barabara wakiwa katika zoezi la kuimarisha miundombinu hiyo kwa kuweka lami katika sehemu zilizoathirika kutokana na mvua za masika zilizomalika hivi karibuni na kuleta madhara kwa baadhi ya barabara.
HAKIKISHENI MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA HAUSIMAMI - DKT MWIGULU
-
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi
wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze
kutoa hud...
6 hours ago
0 Comments