Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Barabara wakiwa katika zoezi la kuimarisha miundombinu hiyo kwa kuweka lami katika sehemu zilizoathirika kutokana na mvua za masika zilizomalika hivi karibuni na kuleta madhara kwa baadhi ya barabara.
GEITA DC KINARA NAMBA MOJA MATUMIZI SAHIHI YA MIFUMO YA MAMLAKA YA SERIKALI
MTANDAO (eGA)
-
Mkutano wa 6 wa Serikali Mtandao umemalizika Februari 19, 2026, huku
Halmashauri ya Wilaya ya Geita ikitangazwa kuwa Mshindi Namba Moja kati ya
Halmashauri...
7 hours ago
0 Comments