Mhe.Ambar Haji Khamis kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar . amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais ZNZ atahakikisha anarudisha mchakato wa Katiba Mpya.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
5 hours ago

0 Comments