MWANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mussa Aboud Jumbe, akipokea mkoba wenye fomu za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zazibar, kutoka kwa Katibu wa Idara ya Oganaizesheni Zanzibar, Galos Nyimbo, hapo ofisi ya chama Kisiwandui Mjini Unguja (PICHA ZOTE NA ABDALLA OMAR).
KAMATI YA BUNGE YADHIHIRISHIWA JINSI MTU KALE ALIVYOPATIKANA NGORONGORO.
-
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikiongozwa na
Mwenyekiti wake Mhe. Timotheo Mnzava (Mb) leo tarehe 13 Machi, 2026 Karatu
imedhih...
2 hours ago
0 Comments