Moja ya daraja katika ujenzi wa barabara ya Bububu Kituo cha Polisi hadi kwa nyanya ikienelea na ujenzi huo kama inavyoonekana pichani moja ya daraja katika barabara hiyo likiendelea na ujenzi wake ili kuweza kuweka sawa miundombinu ya kupitisha maji wakati wa mvua.
HAKIKISHENI MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA HAUSIMAMI - DKT MWIGULU
-
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi
wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze
kutoa hud...
1 hour ago
0 Comments