Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kamuzu Nchini Malawi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye sherehe ya kuapishwa Rais Mpya wa Malawi Mhe. Lazarus Chakwera leo Julai 06,2020.
Absa Yatambuliwa kama Mwajiri Bora kwa Mwaka 2026 katika Masoko Sita ya
Afrika
-
*Absa Ghana yashika nafasi ya kwanza kama Mwajiri Bora katika soko lake
Kwa mwaka wa tano mfululizo, Absa imetambuliwa kama Mwajiri Bora (Top
Employer) k...
3 hours ago
0 Comments