Kizazaa katika goli la Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. Kizaazaa hicho kimeipatia bao Timu la Pili Timu ya Malindi. hadi mwisho wa mchezo huo Timu ya Mlandege imetoka na ushindi wa bao 3-2.
Matukio : Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa
-
Na Mwandishi wa OMH
Kibaha, Pwani. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo
cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya...
3 hours ago
0 Comments