Muonekano wa Masjid Tauhid Fuoni baada ya kukamilika ujenzi wake na kufunguliwa jana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi, kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi. hafla hiyo imefanyika katika Masijid hiyo huko Fuoni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
33 minutes ago
0 Comments