Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera Charles akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma jana kuhusiana na baadhi ya vyombo vya Habari kuingilia majukumu ya Tume kwa kuanza kutangaza matokeo ya uteuzi kwa nafasi za Ubunge na Udiwani kinyume na Sheria Jambo ambalo linaweza kusababisha uvunjifu wa amani. (Picha na NEC).
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
1 hour ago

0 Comments