Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera Charles akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma jana kuhusiana na baadhi ya vyombo vya Habari kuingilia majukumu ya Tume kwa kuanza kutangaza matokeo ya uteuzi kwa nafasi za Ubunge na Udiwani kinyume na Sheria Jambo ambalo linaweza kusababisha uvunjifu wa amani. (Picha na NEC).
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
12 hours ago

0 Comments