Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera Charles akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma jana kuhusiana na baadhi ya vyombo vya Habari kuingilia majukumu ya Tume kwa kuanza kutangaza matokeo ya uteuzi kwa nafasi za Ubunge na Udiwani kinyume na Sheria Jambo ambalo linaweza kusababisha uvunjifu wa amani. (Picha na NEC).
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA
KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE
-
Na Mwandishi wetu, Tabora
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na Ujenzi wa
Kiwanda cha Zege kinachomilikiwa na kampuni tanzu ya T...
10 minutes ago

0 Comments