Muonekano ya Jengo jipya la Maduka ya Kisasa la Sheikh Thabit Kombo Kisonge Michezani Jijini Zanzibar lililofunguliwa rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein \, baada ya kumalizika kwa ujenzi wake na kukabidhiwa kwa ZSSF msimamizi wa ujenzi huo hadi kukamilika kwake.
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
8 hours ago
0 Comments