Muonekano ya Jengo jipya la Maduka ya Kisasa la Sheikh Thabit Kombo Kisonge Michezani Jijini Zanzibar lililofunguliwa rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein \, baada ya kumalizika kwa ujenzi wake na kukabidhiwa kwa ZSSF msimamizi wa ujenzi huo hadi kukamilika kwake.
BoT YASHIRIKISHA WADAU MPANGO WA KUANZISHA KAMPUNI YA UDHAMINI WA MIKOPO
-
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi
na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali
kujadilian...
1 hour ago
0 Comments