Naibu Mkuu wa Ubalozi wa Norway Mr Bjoem Midthun na Mkurugenzi wa (TAMWA Zanzibar) Dr Mzuri Issa wakitia saini Mkataba wa kazi ya kuwezesha Wanawake kwenye Uongozi (SWIL) kwa kushirikiana na ZAFELA na PEGAO ambapo mashirikiano hayo yataanza mwaka 2021/2023.
OSHA INA NAFASI MUHIMU YA KUWEZESHA SHUGHULI CHA UZALISHAJI-KATIBU MKUU KAZI
-
Wajumbe wa Baraza la OSHA wakifuatilia majadiliano mbalimbali
yaliowasilishwa katika kikaocha Tano cha Baraza la Tano la wafanyakazi wa
OSHA kilichofanyik...
6 hours ago

0 Comments