Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia vitunguu, kwenye banda la Kikundi cha KONGA, wakati akikagua mabanda katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, yaliyofanyika Kitaifa katika uwanja wa Mandela, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Desemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
48 minutes ago
0 Comments