Mshambuliaji wa Timu ya Simba Kagere akiruka kihuzi cha beki wa Timu ya Yanga wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika usiku huu Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar Timu ya Yanga imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penenti 4-3.
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
23 minutes ago
0 Comments