Msanii wa Muziki wa Bongo Flava Kondeboy ametowa burudani kwa Wananchi wa Zanzibar na Mashabiki wa mchezo wa Soka Zanzibar katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana usiku katika uwanja wa Amaan Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa mikwaju ya peneti 4-3.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
2 hours ago
0 Comments